sw_tn/jos/15/03.md

12 lines
268 B
Markdown

# Mpaka wao
"Mpaka wa nchi iliyo mali ya kabila la Yuda"
# Akirabimu...sini....Hebroni... Addari...Karka...Azimoni
Haya ni majina ya sehemu/mahali
# kijito cha Misri
huu ni mto mdogo wa maji katika ukingo wa upande wa kusini magharibi mwa nchi, karibu na Misri.