|
# Mpaka wao
|
|
|
|
"Mpaka wa nchi iliyo mali ya kabila la Yuda"
|
|
|
|
# Akirabimu...sini....Hebroni... Addari...Karka...Azimoni
|
|
|
|
Haya ni majina ya sehemu/mahali
|
|
|
|
# kijito cha Misri
|
|
|
|
huu ni mto mdogo wa maji katika ukingo wa upande wa kusini magharibi mwa nchi, karibu na Misri.
|