forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
570 B
Markdown
12 lines
570 B
Markdown
# Maeneo haya ya nchi ambayo watu wa Israeli waliyapokea kama urithi wao
|
|
|
|
Nchi ambayo waisraeli waliipata inazungumzwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao waliupata kama mali ya kudumu.
|
|
|
|
# Urith huu uligawanywa kwao na Eliazeri kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya mababu wa familia zao kati ya watu wa Israeli
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambao Eliazeri kuhani , mwana wa Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao katika Israeli waliwapa."
|
|
|
|
# Viongozi wa makabila
|
|
|
|
Hawa walikuwa viongozi wa kila kabila
|