sw_tn/jos/12/06.md

12 lines
215 B
Markdown

# Waerubeni
Hawa walikuwa wazawa wa Rubeni
# Wagadi
Hawa walikuwa wazawa wa Gadi
# nusu ya kabila la Manase
Wanaitwa nusu ya kabila kwasababu nusu nyingine ya kabila walipewa urithi wao katika nchi ya Kanaani.