sw_tn/jos/12/06.md

215 B

Waerubeni

Hawa walikuwa wazawa wa Rubeni

Wagadi

Hawa walikuwa wazawa wa Gadi

nusu ya kabila la Manase

Wanaitwa nusu ya kabila kwasababu nusu nyingine ya kabila walipewa urithi wao katika nchi ya Kanaani.