sw_tn/jos/10/12.md

12 lines
278 B
Markdown

# Jua lisimame katika Gibeoni, na mwezi, usimame katika bonde la Aijalon
Yoshua anaomba kwamba Yahweh angefanya mwendelezo wa muda ukome katika siku hii.
# jua...mwezi
Yoshua analiagiza jua na mwezi kana kwamba walikuwa ni watu.
# Bonde la Aijaloni
Hili ni jina la mahali