Jua lisimame katika Gibeoni, na mwezi, usimame katika bonde la Aijalon
Yoshua anaomba kwamba Yahweh angefanya mwendelezo wa muda ukome katika siku hii.
jua...mwezi
Yoshua analiagiza jua na mwezi kana kwamba walikuwa ni watu.
Bonde la Aijaloni
Hili ni jina la mahali