sw_tn/jos/10/12.md

278 B

Jua lisimame katika Gibeoni, na mwezi, usimame katika bonde la Aijalon

Yoshua anaomba kwamba Yahweh angefanya mwendelezo wa muda ukome katika siku hii.

jua...mwezi

Yoshua analiagiza jua na mwezi kana kwamba walikuwa ni watu.

Bonde la Aijaloni

Hili ni jina la mahali