sw_tn/jos/09/14.md

426 B

Yoshua akafanya amani pamoja nao na kufanya agano pamoja nao ili waishi. Viongozi wa watu nao pia wakawaapia

Sentensi hizi mbili zinaongelea juu ya jambo lile lile lililotokea. Yoshua, kiongozi wa taifa aliahidi kutowaua Wagibeoni. Viongozi wa taifa la Israeli, hivyo hivyo walifanya agano. "Yoshua na viongozi wa Israeli walifanya agano la damu na watu wa Gibeoni."

watu

Neno hili hapa linawarejelea watu wa Israeli.