sw_tn/jos/09/11.md

193 B

mkononi mwako

Kifungu hiki cha maneno kina maana ya "kuchukua" Neno 'mkono' linamaanisha kumiliki vitu vya Wagibeoni.

mkutane nao na muwaambia

Neno 'nao' linawarejelea watu wa Israeli.