forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
289 B
Markdown
12 lines
289 B
Markdown
# Sentensi kiunganishi
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kuongea na Yoshua na kumwambia kitu cha kuwaambia watu
|
|
|
|
# Watu
|
|
|
|
Inarejelea watu wa Israeli
|
|
|
|
# Hamtaweza kusimama mbele ya maadui zenu
|
|
|
|
Kusimama mbele za maadui zao kuna maana ya kupigana kwa mafanikio dhidi yao. "Hamtaweza kuwashinda maadui zenu"
|