sw_tn/jos/07/13.md

289 B

Sentensi kiunganishi

Yahweh anaendelea kuongea na Yoshua na kumwambia kitu cha kuwaambia watu

Watu

Inarejelea watu wa Israeli

Hamtaweza kusimama mbele ya maadui zenu

Kusimama mbele za maadui zao kuna maana ya kupigana kwa mafanikio dhidi yao. "Hamtaweza kuwashinda maadui zenu"