sw_tn/jos/06/17.md

659 B

Sentensi kiunganishi

Yoshua anaendelea kuongea na watu wa israeli.

Mji pamoja na vitu vyote ndani yake vitatengwa kwa Yahweh kwa ajili ya uharibifu.

Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji: "Ni lazima kuzitenga kwa Yahweh mji na kila kitu ndani yake kwa ajili ya kuharibiwa"

iweni waangalifu juu ya kuchukua vitu

Kuwa mwangalifu kunaongelewa kana kwamba wao ni walinzi wenyewe. "Iweni waangalifu msivichukue vitu"

mtaleta matatizo katika kambi

Kufanya kitu fulani kinachofanya mambo mabayaa kutokea katika mji kunasemwa kama kuleta matatizo juu yake.

Hazina ya Yahweh

Mkusanyiko wa vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kumwabudia Yahweh.