sw_tn/jos/06/08.md

629 B

Makuhani saba walibeba tarumbeta saba za pembe za kondoo mbele ya Yahweh

Maana zinazoweza kukubalika juu ya "mbele za Yahweh ni 1)"katika utii kwa Yahweh" 2) sehemu ya mbele ya sanduku la Yahweh"

walipuliza tarumbeta

"Walizipiga tarumbeta zao sana" au "makuhani walipuliza tarumbeta za pembe za beberu"

Sanduku la Yahweh liliwafuata kwa nyuma yao

Inaweza kuelezwa dhahiri kuwa kulikuwa na watu waliobeba sanduku. au " Makuhani walikuwa wamelibeba sanduku la agano la Yahweh waliwafuata kwa nyuma yao.""

walipuliza tarumbeta zao

"Walizipiga tarumbeta zao sana" au "makuhani walipuliza tarumbeta za pembe za beberu"