sw_tn/jos/06/05.md

394 B

Sentensi kiunganishi

Mungu aendelea kuongea na Yoshua juu ya kile watu walichopaswa kufanya

watapuliza pembe za kondoo waume kwa nguvu kuu,

Kiwakilishi 'wa' kinarejelea makuhani saba. "Pembe za kondoo" na "tarumbeta" ni tarumbeta za pembe za kondoo dume ambazo makuhani walikuwa wakizipuliza katika 6:3

ukuta wa mji

"Huu ulikuwa ni ukuta wa nje wa mji" au "ukuta uliouzingira mji."