sw_tn/jos/04/19.md

466 B

kukwea kutoka Yordani

Hii inarejelea kipindi ambacho Israeli ilivuka Mto Yordani katika nchi kavu.

Katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza

Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi iko karibu na mwisho wa mwezi wa tatu wa kalenda za Kimagharibi.

Mawe kumi na mawili ambayo yalichukuliwa katika Yordani

Kila kabila lilitakiwa kuchukua jiwe moja kutoka katika Mto wa Yordani ili Yoshua aweze kutengeneza kumbukumbu ya tukio la kuvuka mto.