sw_tn/jos/04/17.md

408 B

Maelezo ya jumla

Mwandishi alikuwa anakiweka wazi kile kilichogawanya Mto Yordani hakikuwa cha tofauti na kile kilichogawanya Bahari Nyekundu kwa ajili ya kizazi kilichotangulia.

maji ya Yordani yalirudi katika sehemu zake na kujaa hadi katika kingo zake

Mto Yordani ulikuwa ukifurika katika kingo zake na kugharikisha eneo kabla na baada ya Israeli kuvuka katika nchi kavu.

Siku nne

Siku 4