sw_tn/jos/03/07.md

320 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anamwambia Yoshua kile ambacho kuhani alipaswa kufanya

nitakufanya kuwa mtu mkubwa

Yahweh atamheshimu Yoshua mbele ya watu wote wa Israeli.

macho ya Waisraeli

Inawarejelea Waisraeli wote watakaoona tukio hili

ukingo wa maji ya Yordani,

Yoshua ataukaribia ukingo wa Mto wa Yordani