forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
367 B
Markdown
12 lines
367 B
Markdown
# Jitakaseni ninyi wenyewe
|
|
|
|
Maneno haya yanarejelea maandalizi maalumu ya kuwa safi kidini au kiroho mbele za Mungu.
|
|
|
|
# Yahweh atafanya maajabu
|
|
|
|
Yahweh atakuwa akifanya miujiza kwa ajili ya watu wote kuona na kushuhudia
|
|
|
|
# Chukueni sanduku la agano
|
|
|
|
Haya yanawarejelea walawi ambao hulichukua Sanduku la Agano kwa kusudi la kulibeba kutoka sehemu moja hadi nyingine.
|