sw_tn/jos/02/08.md

448 B

walikuwa hawajalala

Hii inarejelea kwenda kulala wakati wa usiku

Ninajua kwamba Yahweh amewapa ninyi nchi

Neno 'ninyi' linawarejelea watu wa Israeli

hofu juu yenu imetuingia

"hofu yaweza kuelezewa kwa hali tofauti." " Sisi tunawaogopeni ninyi."

watayeyuka mbele yenu

Watu wenye hofu wanalinganishwa na kuyeyuka kwa barafu na kutiririkia mbali. Maana zinazokubalika ni 1)watakuwa wadhaifu mbele za uwepo wa Waisraeli 2) watasambazwa.