forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
448 B
Markdown
16 lines
448 B
Markdown
|
# walikuwa hawajalala
|
||
|
|
||
|
Hii inarejelea kwenda kulala wakati wa usiku
|
||
|
|
||
|
# Ninajua kwamba Yahweh amewapa ninyi nchi
|
||
|
|
||
|
Neno 'ninyi' linawarejelea watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# hofu juu yenu imetuingia
|
||
|
|
||
|
"hofu yaweza kuelezewa kwa hali tofauti." " Sisi tunawaogopeni ninyi."
|
||
|
|
||
|
# watayeyuka mbele yenu
|
||
|
|
||
|
Watu wenye hofu wanalinganishwa na kuyeyuka kwa barafu na kutiririkia mbali. Maana zinazokubalika ni 1)watakuwa wadhaifu mbele za uwepo wa Waisraeli 2) watasambazwa.
|