sw_tn/jos/02/04.md

355 B

Maelezo ya jumla

Rahabu yule kahaba aliwahifadhi wale wapelezi wawili wa Israeli ili wasidhuriwe.

Lakini mwanamke alikuwa amewachukua na kuwaficha

Tukio hili lilifanyika kabla ya wajumbe wa wafalme hawajaongea naye.

Mwanamke

Neno hili linamrejelea Rahabu, kahaba.

Machweo

Huu ni muda ambao siku inaanza kubadilika na kuwa giza la usiku.