forked from WA-Catalog/sw_tn
355 B
355 B
Maelezo ya jumla
Rahabu yule kahaba aliwahifadhi wale wapelezi wawili wa Israeli ili wasidhuriwe.
Lakini mwanamke alikuwa amewachukua na kuwaficha
Tukio hili lilifanyika kabla ya wajumbe wa wafalme hawajaongea naye.
Mwanamke
Neno hili linamrejelea Rahabu, kahaba.
Machweo
Huu ni muda ambao siku inaanza kubadilika na kuwa giza la usiku.