sw_tn/jos/02/01.md

247 B

Nuni

Huyu ni baba yake na Yoshua

Shitimu

Hili ni jina la mahali katika upande wa mashariki wa Mto wa Yordani. Ina maana ya "Miti ya Akasia."

Wapelelezi

Hawa ni watu waliotembelea nchi ili kupata taarifa juu ya jinsi ya Israeli kuitwaa.