sw_tn/jos/01/06.md

371 B

Maelezo ya jumla

Yahwe anampa Yoshua mfululizo wa maagizo

Uwe hodari na jasiri sana

Yahwe anamwagiza Yoshua ashinde hofu zake kwa ujasiri.

Usikengeuke upande wa kulia au wa kushoto

Maneno haya yaweza kumaanisha agizo halisi. "Ifuate sheria kwa hakika" au ''Zifuate kwa ukweli na hakika"

ili uweze kufanikiwa

"kutimiza lengo lako" au "kufikia lengo lango"