sw_tn/jol/02/28.md

12 lines
192 B
Markdown

# Taarifa za jumla
Bwana anaendelea kuahidi mambo mema kwa ajili ya watu wa Israeli.
# nitamimina Roho yangu
"Nitawapa kwa ukarimu njia ambayo mtu humimina maji"
# miili yote
"watu wote"