forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
508 B
Markdown
16 lines
508 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Mungu anaongea na makuhani katika Israeli
|
|
|
|
# Panda magunia na omboleza, enyi makuhani! Mwalia, enyi watumishi wa madhabahu. Njoo, ulala usiku wote kwenye magunia, enyi watumishi wa Mungu wangu
|
|
|
|
Mungu anawaambia makuhani kujinyenyekeza wenyewe na kulia kwa huzuni. AT 'Wote makuhani huomboleza na kuomboleza na kujinyenyekeza kwa kutumia usiku wote katika magunia"
|
|
|
|
# sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji
|
|
|
|
sadaka ya kawaida katika hekalu
|
|
|
|
# nyumbani mwa Mungu wenu
|
|
|
|
hekalu huko Yerusalemu
|