sw_tn/job/39/29.md

276 B

hutafuta mawindo

Kiambishi 'hu' kinarejelea tai

macho yake huyaona

huwaona wao

pale walipo wafu

"sehemu palipo na watu wafu'' Kirai hichi kinarejelea maiti zilizolala katika sehemu wazi, si miili iliyozikwa ardhini.

ndipo na yeye alipo.

"yuko pale kuwala wao"