sw_tn/job/39/24.md

874 B

huimeza

Kiambishi 'hu' kinarejelea farasi

huimeza nchi

Farasi hukimbia kwa kasi juu ya ardhi na ya kwamba nchi hupita kama mtu anakunywa maji.

hasira na ghadhabu

"kwa miondoko mikubwa na ya haraka" Farasi anaposisimuka huondoka kwa haraka na kwa nguvu. Na kwasababu hii, farasi hukimbia kwa haraka.

katika sauti ya tarumbeta,

"wakati mtu fulani anapopuliza tarumbeta ili kutangaza kwamba vita imeanza."

hawezi kusimama sehemu moja

"mara kwa mara huwahi kwenye vita"

husema Ooo!

Watu hutoa Sauti Ooo! wakati wanapokuwa wamefurahia kitu fulani. Farasi huwa na furaha kwasababu huifurahia vita.

vishindo vya radi

Hii ina maana kwamba farasi huvisikia vitu hivi. "husikia sauti ya radi"

kelele

"Vita hupiga kelele" Watu huwa na kilio maalumu ambacho hukitumia kuonesha kuwa wao ni watu gani na nguvu zao kuu na ujasiri na kuwaogopesha maadui.