sw_tn/job/39/13.md

40 lines
728 B
Markdown

# Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
# Mabawa... ya upendo
Yahweh anatumia swali hii ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuelezea kwanini mbuni wanaenenda jinsi wanavyofanya.
# mbuni
huyu ni ndege mkubwa ambaye anaweza kukimbia haraka, lakini hawezi kupaa.
# kwa majivuno
"kwenda kwa furaha"
# mabawa
haya ni manyoya marefu juu ya mabawa ya ndege
# manyoya
ni manyoya madogo yaliyoenea juu y mwili wote wa ndege
# yana upendo
Maana zinazowezana 1) "uaminifu" 2) "ya kurungu" Jina hili lilimaanisha "mwaminifu mmoja" au mwenye kupenda, kwasababu kunguru huwajali sana watoto wake.
# katika nchi
juu ya ardhi
# kuyaharibu
Neno hili linarejelea mayai.
# kuyakanyaga
"kukanyaga juu yao"