forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
453 B
Markdown
20 lines
453 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
|
|
|
|
# hu...
|
|
|
|
Kiambishi hiki kinarejelea punda mwitu
|
|
|
|
# Hucheka kwa dharau
|
|
|
|
Yahweh anaiongelea punda kana kwamba alikuwa ni mtu. Punda walichekka kwasababu wale walikuwa katika mji lazima wasikie sauti kubwa, ingawa alikuwa akiishi sehemu ya ukimya.
|
|
|
|
# mwongozaji
|
|
|
|
mtu ambaye anawalazimisha wanyama kufanya kazi.
|
|
|
|
# malisho
|
|
|
|
sehemu ambazo wanyama wanaweza kula mimea inayokua katika mashamba
|