sw_tn/job/38/12.md

1.1 KiB

Maelezo ya jumla

Yahweh aendelea kumtia changamoto Ayubu.

Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi .....waovu watikiswe mbali nayo?

Yahweh anatumia swali hili kutilia mkazo kwamba ni Mungu tu anazo nguvu juu ya asubuhu na Ayubu hana hizo nguvu.

tangu mwanzo wa siku zako

Kirai hiki kina maana "tangu ulipozaliwa" au "katika siku

kuigiza asubuhi

Yahweh anaeilezea asubuhi kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye angeweze kupokea maagizo.

a kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu

"uyaache mapambazuko yajue kule miliki yake iliko"

mapambazuko

ni mwanga unajitokeza asubuhi kabla ya jua halijachomoza.

ili kwamba ishikilie sehemu za dunia

Yahweh anaiongelea asubuhi kana kwamba ni mtu anayeshikila pembe za dunia kama pembe za mkeka. Mapambazuko yanaonekana kushikilia sehemu za dunia kwasababu mwanga wake huonekana kwanza pembezoni.

ili watu waovu watikiswe mbali nayo.

''na kuwatikisa watu waovu nje ya dunia." Mwanga wa mapambazuko huwafanya watu waovu waende mbali kama kutikisa kwa mkeka kunavyotoa uchafu juu yake.