sw_tn/job/38/10.md

701 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu

apo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu,

Nlifanya mipaka kwa ajili ya bahari.

mpaka

Yahweh aliumba mpka kuzunguka bahari kwamba bahari haziruhusiwi kuuvuka.

nilipoweka makomeo yake na milango,

Yahweh analinganisha namna alivyotengeneza mpaka wa bahari na ya kwamba bahari ina milango na makomeo. "Hivyo niliweka vizuizi ili kwamba maji yasiweze kuvuka juu ya nchi."

makomeo

ni kpande kirefu cha ubao au chuma ambacho hutumika kwa ajili ya kufungia mlango.

kwa fahari ya mawimbi yako

Yahweh anazungumzia juu ya mawimbi kana kwamba walikuwa ni watu. Ina maana kwamba mawimbi yana fahari kwa kuwa yana nguvu.