sw_tn/job/38/08.md

710 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.

huifunga bahari

Yahweh anatumia swali hili ili kutia mkazo kwamba aliifanya bahari.

huifunga bahari kwa milango

Yahweh analinganisha njia aliyoitumia kuizuia bahari ili isiigharikishe dunia yote na kuishikilia bahari kwa nyuma.

kana kwamba inatoka katika tumbo

Yahweh analinganisha uumbaji wake wa bahari na uzazi.

mavazi yake

kama nguo kwa ajili ya bahari

giza nene

:mawingu meusi sana"

na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia

"na kufunga katika mawingu mazito Kama mkanda wa kujifungia"

mkanda wake wa kujifungia

Hiki ni kipande cha nguo ambacho watu walikitumia kuwafunga watoto wachanga baada ya kuzaliwa.