forked from WA-Catalog/sw_tn
710 B
710 B
Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.
huifunga bahari
Yahweh anatumia swali hili ili kutia mkazo kwamba aliifanya bahari.
huifunga bahari kwa milango
Yahweh analinganisha njia aliyoitumia kuizuia bahari ili isiigharikishe dunia yote na kuishikilia bahari kwa nyuma.
kana kwamba inatoka katika tumbo
Yahweh analinganisha uumbaji wake wa bahari na uzazi.
mavazi yake
kama nguo kwa ajili ya bahari
giza nene
:mawingu meusi sana"
na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia
"na kufunga katika mawingu mazito Kama mkanda wa kujifungia"
mkanda wake wa kujifungia
Hiki ni kipande cha nguo ambacho watu walikitumia kuwafunga watoto wachanga baada ya kuzaliwa.