sw_tn/job/37/16.md

662 B

Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?

"Haufahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, ambaye ni mkamilifu katika maarifa."

kuelea kwa mawingu

"jinsi mawingu yanavyoelea"

matendo ya ajabu ya Mungu

"njia za miujiza ambayo kwayo huyafanya mawingu yaelee katika anga"

Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?

"Wewe haufahamu jinsi ya kuzuia kutoka kwa jasho katika nguo zako; ni hatari sana wakati upepo wa joto kali unapokoma kuvuma kutoka kusini na majani yote katika miti hutulia"