sw_tn/job/37/04.md

218 B

Sauti huunguruma baada yake...mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika

Elihu anaendelea kuzungumzia radi kana kwamba ni sauti ya Mungu.

wakati sauti yake inaposikika

"wakati watu wanapoisikia sauti yake"