sw_tn/job/36/32.md

282 B

Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga

Maana zinazokubalika ni 1) kwamba Mungu anashikilia vifungo vya mwanga mkononi mwake ili aweze kuzitupa au 2) kwamba Mungu huuficha vifungo vya mwanga katika mikono yake hadi pale alipo tayari kuvitumia.

ngurumo zake

"Sauti ya mwangaza"