sw_tn/job/36/19.md

581 B

Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?

Elihu anauliza maswali haya ili kutia mkazo kwamba pesa na nguvu hazitaweza kumsaidia Ayubu kama atatenda isivyo haki.

nguvu zako zote za uwezo

"nguvu zako zote kubwa"

wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao

Maana zinazokubalika ni 1)" wakati makundi ya watu yatakapotoweka kutoka katika sehemu yake au 2) " wakati watu watakapowavuta kutoka katika nyumba zao,"

unajaribiwa kwa mateso

"Mungu anakujaribu wewe kwa kukufanya uteseke"