sw_tn/job/36/10.md

223 B

Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake

"huwafanya wasikilize agizo lake"

siku zao....miaka yao

Virai hivi viwili rinarejelea kipindi cha maisha ya mtu.

wataangamia kwa upanga

"watakufa kifo cha vurugu"