sw_tn/job/35/01.md

478 B

Je unadhani hii ni sawa ....'Haki yangu mbele ya Mungu?

Elihu anatumia maswali ili kumtia changamoto Ayubu. "Lazima ufikiri wewe ni mwenye haki....haki yangu mbele za Mungu"

Je unadhani

hapa kiambishi 'u' ni umoja na kinamwakilisha Ayubu.

Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?

"kwa kuwa wasema haijalishi kuwa uko mwenye haki, na ya kwamba hakuna faida zaidi kwako kuliko kama ungekuwa umetenda dhambi"