sw_tn/job/34/31.md

411 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza

nifunze kile ambacho siwezi kukiona

"nifundishe kile nilichokifanya vibaya na hata sikukijua"

Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda?

Elihu anatumia swali kwa ajili ya kutia mkazo. "Ingawa haupendi kile ambacho Mungu anakifanya, hakika hata haufikirii kwamba Mungu atamwadhibu mtu huyu"