forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
411 B
Markdown
12 lines
411 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anaendelea kuzungumza
|
||
|
|
||
|
# nifunze kile ambacho siwezi kukiona
|
||
|
|
||
|
"nifundishe kile nilichokifanya vibaya na hata sikukijua"
|
||
|
|
||
|
# Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda?
|
||
|
|
||
|
Elihu anatumia swali kwa ajili ya kutia mkazo. "Ingawa haupendi kile ambacho Mungu anakifanya, hakika hata haufikirii kwamba Mungu atamwadhibu mtu huyu"
|