forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
364 B
Markdown
20 lines
364 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Elihu anaendelea kuzungumza
|
|
|
|
# Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu
|
|
|
|
"Huwaharibu watawala"
|
|
|
|
# kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi
|
|
|
|
"kwasababu anajua tayari kile alichokifanya"
|
|
|
|
# huwaweka watu wengine katika nafasi zao
|
|
|
|
"na anachagua watu wengine kutawala katika nafasi zao"
|
|
|
|
# wakati wa usiku
|
|
|
|
"wakati wasioutarajia"
|