sw_tn/job/34/01.md

485 B

Elihu

Angalia jinsi alivyofasiri katika 32:1

Sikilizeni maneno yangu

"Sikiliza kile ninachokisema"

ninyi watu wenye hekima....ninyi mlio na maarifa

Elihu anamkosoa Ayubu na marafiki zake. Hafikiri kama ni watu wenye hekima kweli.

Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.

Elihu anamaanisha kwamba watu wasikilize kwa makini ili kujua kilicho cha haki au kibaya kama tu vile ambavyo tunaonja chakula kutambua kama ni chakula kizuri au kibaya.