forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
321 B
Markdown
16 lines
321 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Elihu anazidi kuzungumza na Ayubu
|
|
|
|
# lakini dhambi yangu haikuadhibiwa
|
|
|
|
"lakini Mungu hakuniadhibu mimi kwa kutenda dhambi"
|
|
|
|
# ameiokoa roho yangu
|
|
|
|
"aliniokoa mimi"
|
|
|
|
# maisha yangu yataendelea kuuona mwanga
|
|
|
|
Atauona mwanga wa maisha badala ya giza ambalo angeliliona katika kifo. "nitaendelea kuishi"
|