sw_tn/job/33/27.md

321 B

Maelezo ya jumla

Elihu anazidi kuzungumza na Ayubu

lakini dhambi yangu haikuadhibiwa

"lakini Mungu hakuniadhibu mimi kwa kutenda dhambi"

ameiokoa roho yangu

"aliniokoa mimi"

maisha yangu yataendelea kuuona mwanga

Atauona mwanga wa maisha badala ya giza ambalo angeliliona katika kifo. "nitaendelea kuishi"