sw_tn/job/31/16.md

601 B

Maelezo ya jumla .

Ayubu anaanza kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, (zimeelezwa katika 31:22) lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli

nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,

Mahali hapa "yafifie" inarejelea mjane kuwa wa uwezo mbaya wa kuona kwasababu ya kulia sana.

kipande changu

"chakula"

tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.

Ayubu anaelezea jinsi alivyowatendea kweli mjane na yatima. "Niliwajali yatima na wajane tantu nilipokuwa mdogo sana"