sw_tn/job/31/13.md

652 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?

Ayubu anatumia swali ili kutia mkazo. "kisha hakutakuwa na kitu kabisa nitakachoweza kusema ili kujilinda mwenyewe wakati Mungu atakapokuja kunihukumu"

Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?

"Mungu, ambaye alinifanya mimi na kwa namna ile ile aliwafanya na wao, atanihukumu kwa jinsi ya haki ile ile kama anavyowahukumu wao."