sw_tn/job/31/09.md

611 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine

"kama nimemwakia tamaa mke wa mwanaume mwingine"

ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake

"na kama nimemsubiria aache nyumba yake ili niweleze kulala naye"

na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine

Maana zinazokubalika ni 1) hii ni njia ya kusema kuwa mwanaume atalala na mke wa Ayubu au 2) in maana kwamba atakuwa mtumwa na kufanya kazi kwa mwanaume mwingine.