sw_tn/job/30/27.md

313 B

Moyo wangu umetaabika na wala haupumziki

Ayubu anaongelea moyo wake kama ni mtu

Ninarandaranda na ngozi yenye giza lakini si kusababu ya jua

"Daima nipo katika hudhuni na giza"

ndugu wa mbwa mwitu, mshirika wa mbuni

Ayubu anafananisha mateso yake na kuomba kwake msaada kama kilio cha mbweha na mbuni.