sw_tn/job/30/27.md

12 lines
313 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Moyo wangu umetaabika na wala haupumziki
Ayubu anaongelea moyo wake kama ni mtu
# Ninarandaranda na ngozi yenye giza lakini si kusababu ya jua
"Daima nipo katika hudhuni na giza"
# ndugu wa mbwa mwitu, mshirika wa mbuni
Ayubu anafananisha mateso yake na kuomba kwake msaada kama kilio cha mbweha na mbuni.