sw_tn/job/30/01.md

990 B

hawana kitu lakini mdhaha kwa ajili yangu

"hunidhihaki tu"

ambao baba zao nigewakataza kufanya kazi sambamba na mbwa wa kundi langu

"ambao baba zao niliwadharau na sikuwaruhusu kufanya kazi sambamba na mbwa wa kundi langu"

mbwa wa kundi langu

"mbwa ambao walilinda kundi langu"

Je nguvu za mikono ya baba zao zingewezaje kunisaidia mimi... zimeharibika?

"nguvu za mikono ya baba zao hazikunisaidia kunisaidia mimi... zimeharibika"

watu ambao nguvu zao za ukomavu wa umri wa o zimeharibika

"watu ambao wamezeeka na hawana nguvu" au "watu ambao wamekuwa wazee na dhaifu"

walikonda kwa umasikini na njaa

neno "wali.." ni kiambishi kwa kumaanisha baba wa vijana wenye dhihaka.

walikonda kwa umasikini na njaa

"walikonda sana kwa sababu walikuwa masikini na hawakupata mahitaji ya kutosha"

tafuna kwenye ardhi kavu

"walitafuna mzizi waliyoipata katika ardhi" au "kutafuna kwenye ardhi kavu" ni picha kuwa walikula chochote walichoweza kukipata katika ardhi kavu"