sw_tn/job/30/01.md

32 lines
990 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# hawana kitu lakini mdhaha kwa ajili yangu
"hunidhihaki tu"
# ambao baba zao nigewakataza kufanya kazi sambamba na mbwa wa kundi langu
"ambao baba zao niliwadharau na sikuwaruhusu kufanya kazi sambamba na mbwa wa kundi langu"
# mbwa wa kundi langu
"mbwa ambao walilinda kundi langu"
# Je nguvu za mikono ya baba zao zingewezaje kunisaidia mimi... zimeharibika?
"nguvu za mikono ya baba zao hazikunisaidia kunisaidia mimi... zimeharibika"
# watu ambao nguvu zao za ukomavu wa umri wa o zimeharibika
"watu ambao wamezeeka na hawana nguvu" au "watu ambao wamekuwa wazee na dhaifu"
# walikonda kwa umasikini na njaa
neno "wali.." ni kiambishi kwa kumaanisha baba wa vijana wenye dhihaka.
# walikonda kwa umasikini na njaa
"walikonda sana kwa sababu walikuwa masikini na hawakupata mahitaji ya kutosha"
# tafuna kwenye ardhi kavu
"walitafuna mzizi waliyoipata katika ardhi" au "kutafuna kwenye ardhi kavu" ni picha kuwa walikula chochote walichoweza kukipata katika ardhi kavu"